Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kisiwani, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
🚨 𝐒𝐄𝐁𝐔𝐋𝐄, 𝐂𝐇𝐔𝐌𝐁𝐀, 𝐉𝐈𝐊𝐎 𝐍𝐀 𝐂𝐇𝐎𝐎 𝐍𝐃𝐀𝐍𝐈
📍MAHALI:KISIWANI -KIGAMBONI
⚡️UMEME WAKO!
🚰 Maji BURE/=
🔐 FENCE IPO
🅿️ PARKING KUBWA!
💰BEI: TZS 350,000/= kwa mwezi
🗓️ KIASI CHA MIEZI SITA
⚠️NB: Malipo ya udalali ni sawa na kodi ya mwezi mmoja.Gharama za kuoneshwa bila kulipia ni 20,000/= TU
☎️ WASILIANA NASI: 0698409877 *USIPOJIBIWA MESSAGE PIGA SIMU!!*















