Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Kimara Temboni, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 APARTMENT INAPANGISHWA
– KIMARA TEMBONI UMBALI KM 1 .
📍 SIFA ZA NYUMBA
✅ Vyumba 2 vya kulala vyote master
✅ Sebule kubwa
✅ Jiko
✅ Umeme na maji vinajitegemea
✅ Ndani ya fensi yenye nyumba 2 tu
✅ Mazingira safi, tulivu na yenye usalama wa kutosha
🚶
💰 Kodi: 500.000 x miezi 6
👀 Kwenda kuona nyumba: Tsh 20,000
📌 Ukikubali na kulipia nyumba, utalipa udalali kodi ya mwezi
KIUMBE_REAL_ESTATE_AGENT
EPUKA MATAPELI FANYA KAZI NA MADALALI WENYE OFFICE NA WALIYO SAJILIWA 🙏















