Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Tabata Bima, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 700,000 per month

Aina

Apartment

Vyumba

2

Huduma na Sifa

Sebule
Dining
Jiko
Luku Inajitegemea
Mita ya Maji Inajitegemea
Fence ya Umeme

Maelezo

Hii apartment inapangishwa bei 700000 ina vyumba 2 vya kulala chumba kimojawapo self contained, sebule, dining room, jiko, umeme na maji unajitegemea, electric fence, cctv camera, air-condition & fan, Location tabata bima dar es salaam

Calls/Whatsapp 0768682919 au 0653233641

Service survey charge tsh 30000
Au malipo ya dalali endapo ulipapo apartment hii