Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Tabata Kinyerezi Kifuru King'azi, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 250,000 per month

Aina

Apartment

Vyumba

2

Bafu

2

Huduma na Sifa

Uzio
Makabati ya Jiko
Public Toilet
Luku Inajitegemea
Mita ya Maji Inajitegemea
Tanki la Maji

Maelezo

Hapa kuna apartment 2 mpya zipo ndani ya fence kila moja inapangishwa bei 250000 kodi kianzia miezi 6, ina vyumba 2 vya kulala chumba kimojawapo self contained, sebule, jiko lenye makabati,public toilet, umeme na maji unajitegemea, reserve water tank, parking, peving block, kutoka kituoni bajaji sh 700, ni maeneo ya tabata kinyerezi kifuru king`azi dar es salaam

Calls/Whatsapp 0768682919 au 0653233641

Service survey charge tsh 20000
Au malipo ya dalali endapo ulipapo apartment hii