Tafuta

Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Tabata Kinyerezi Mbuyuni, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
Sh. 300,000/month

Maelezo

Apartment inapangishwa bei 300000 kodi kuanzia miezi 2 tu, ina vyumba 2 vya kulala, sebule, jiko, public toilet, umeme meter yako mwenyewe yani unajitegemea, parking kubwa sana na nyumba ipo ndani ya fence, kutoka kituoni dakika 5 hadi 8 hivi, Location ya tabata kinyerezi mbuyuni opposite na new vibe school dar es salaam

Calls/whatsapp 0768682919 au 0653233641

Service charge tsh 20000
Au malipo ya dalali

Matangazo mengine Tabata, Dar Es Salaam