Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Tabata Kinyerezi Mbuyuni, Dar Es Salaam









Huduma na Sifa
Maelezo
Apartment nzuri sana inapangishwa bei 400000 kodi kuanzia miezi 6, ina vyumba 2 vya kulala chumba kimojawapo master bedroom, sebule, jiko lenye makabati, store, corrido, umeme na maji unajitegemea, tank lako la maji lipo pia na maji yanafloo ndani, hapa ndani ya fence kuna apartment 2 tu, kutoka kituini dakika 1 hadi 2 tu, hii apartment ipo maeneo ya tabata kinyerezi mbuyuni dar es salaam
Calls/whatsapp 0653233641 au 0768682919
Service charge 20000
Au malipo ya dalali















