Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Ubungo Maziwa, Dar Es Salaam

Maelezo
Apartment Mpya Kali Inapangishwa
Mahali: Ubungo Maziwa
Bei: Kuna Za 700k & 800k
Tofauti Ni Ukubwa
Malipo: Miezi 6
Kuingia Baada Ya Mwezi 1, Malipo Yanapokelewa.
☑️Vyumba 2 Kimoja Master Sebule, Jiko & Choo
☑️Unajitegemea Kila Kitu
☑️Fensi Ya Umeme & Parking Ya Kutosha
☑️Reserve Tank & Maji 24/7
Pia Kuna Master Sebule Jiko Bei 500k Kwa Mwezi
Gharama Ya Kuoneshwa Ni 30,000/= (Inalipwa Maramoja Na Itadumu Mpaka Upate)
Bila Kusahau Malipo Ya Mwezi Mmoja Wa dalali
Viwanja Na Office Space Pia Zinapatikana Kwa Size Zote. Karibuni Sana Wateja Wangu🙏
dalali osama contact
0674198120.....0757908120















