Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







Aina
Nyumba
Vyumba
2
Maelezo
đšđżCLASSIC_APARTMENT#INAPANGISHWA
đKimara korogwe
đUmbali wa kutuka stand ya mwendo kasi km 1 usafili bodaboda 1000 tu.
Kwa mguu dakika 15 tu.
đAINA YA 1:
Vyumba viwili, vya kulala
đšSebule
đšJiko
đšPublic Toilet ndani
đšUmeme LUKU yake & Maji yanatoka ndani
âŚKodi 500,000/= miezi kuazia 5 mpaka 6
đAINA YA 2:
Vyumba viwili, vya kulala
đ¸Sebule
đ¸Jiko
đ¸Public Toilet ndani
đ¸Umeme LUKU yake & Maji yanatoka ndani
âŚKodi 400,000/= miezi kuazia 5 mpaka 6
đAINA YA 3:
Chumba kimoja master
đ˛Sebule
đ˛Jiko
đ˛ Umeme & Maji â Inajitegemea maji yanatoka ndani masaa 24
âŚKodi 300,000/= miezi kuazia 5 hadi 6
đ SIFA ZA ZOTE
*Tank za Maji za kutosha
* UMEME kila mtu ana jitegemea
* Maji Ndani miter inajitegemea
* Nyumba zipo ndani ya fensi
* Car Parking kubwa
* Nyumba zinakuwa tayali kuingia tar 28/12/2025 kuona na kufanya malipo luksa kabisa.
đšUmbali wa kutuka stand ya mwendo kasi km 1 usafili bodaboda 1000 tu.
đšKwa mguu dakika 15 tu.
đZINGATIA: Gharama
đNyumba unayo chukua kodi ya mwezi mmoja hela ya udalali utalipa
âŚMalipo ya Dalali Tsh 500k/400k 300k
âŚService Charge kuona 20,000/=
#Piga_simuđ
0712528820
0685221354
#0.&Whatsapp
#please #Follow us..đ
