Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Kinyerezi, Dar Es Salaam








Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก NYUMBA YA VYUMBA VIWILI INAPANGISHWA โ LOCATION KINYEREZI (Mwisho) takribani dakika 6 kutoka kituoni โจ ____________________________ โ Vyumba 2 vya kulala ๐๏ธ vyumba vyote Master ๐๏ธ Sebule &Dningi ๐ณ Jiko ๐ป Choo cha public kwa wageni ๐ก Ndani ya fence ๐จโ๐ฉโ๐งโ๐ฆ Wapangaji ni 3 tu ๐ Paving ipo ๐ Usalama upo wa kutosha ๐ง Maji na umeme vinajitegemea ๐ฐ Kodi: TSh 350,000/= kwa mwezi ๐ค Udalali: Sawa na kodi ya mwezi mmoja ๐งพ Service charge: TSh 20,000/= ๐ Wasiliana nasi: +255 06595O7709 06595O7709 Karibu ndugu mteja, tufanye biashara.















