Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Tabata Kinyerezi, Dar Es Salaam


Huduma na Sifa
Maelezo
Nyumba nzuri sana hii sio ya kukosa, inapangishwa bei 400000 kodi kuanzia miezi 10 ndugu wateja wetu, ina vyumba 2 vya kulala vyumba vyote master bedrooms, sebule, jiko kubwa lenye makabati, public toilet, air-condition, umeme na maji anajitegemea, reserve water tank, parking, fence, peving block, distance dakika 00-00, Location tabata kinyerezi Soma caption ndipo piga sim Kwa maelezo zaidi piga sim Calls/WhatsApp 0768682919 0653233641 Service survey charge tsh 20000 Malipo ya dalali mwezi 1















