Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Kibaha Kwa Mathias, Pwani

Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA KALI SANA YA KISASA INAUZWA KIBAHA KWA MATHIAS TSH MILIONI 20 TU.
==========
🔻Ina vyumba viwili vya kulala, Kimoja ni Master
🔻Sebule
🔻Jiko
🔻 Public toilet
__________________
💰 BEI MILIONI 20 tu
==========
✍️ Ipo kwenye barabara ya mtaa
✍️ Imefanyiwa finishing ya kibabe sana nje na ndani
🪭 Kiwanja chake kina sqmt 400 (20*20)
==========
✍️ Kupelekwa kuona nyumba Tsh 30k
TUWASILIANE what saapp Number 0689-547258















