Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam

Mbezi, Ubungo, Dar Es Salaam
4 months ago
Sh. 600,000
Aina
Nyumba
Vyumba
2
Maelezo
🏠 INAPANGISHWA APARTMENT –MBEZI BEACH MASANA NJIA YA GOBA DAR ES SALAAM
💰 Kodi: Tsh Laki 600,000/= kwa mwezi(Malipo ya miezi 6)
✨ Sifa za nyumba:
• Vyumba 2 vikubwa vya kulala (kimoja ni Master)
• Sebule kubwa na Jiko lenye makabati
• Bafu la ndani na la public
• Gypsum, Tiles, na Windows za Slides
• Umeme wa Luku binafsi
• Maji ya bomba saa 24
• Parking space ipo
• Nje imepangwa kwa Paving blocks
• Nyumba imezungushiwa uzio (Fenced)
📞 Wasiliana nasi:
