Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Goba, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 1,000,000 per month

Aina

Nyumba

Vyumba

2

Maelezo

APARTMENT KALI INAPANGISHWA – GOBA LAS TANZA ✨
Nyumba safi, ya kisasa na yenye muonekano mzuri sana

✔️ Vyumba 2 vya kulala (kimoja Master Bedroom)
✔️ Sebule & Jiko (open plan) – mpangilio wa kisasa
✔️ Public toilet
✔️ Mazingira safi na salama
✔️ Apartment ina muonekano mzuri sana wa kuvutia

💰 Bei: Tsh 1,000,000/= kwa mwezi
💸 Service charge: 30,000/=

📞 Call / WhatsApp: 0787 093 748