Nyumba ya vyumba 20 inauzwa Kinyerezi, Dar Es Salaam (640 sqm)

video thumbnail
Sh. 57,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

20

Bafu

4

Ukubwa

640 SQM

Barabara ya Karibu

700m

Huduma na Sifa

Karibu na Barabara
Karibu na Barabara ya Lami

Maelezo

NYUMBA TANO-PAMOJA INAUZA BANK,TSHS 57 MILIONI, KINYEREZI.

Ni mita 700 tu kutoka BL PARK- KINYEREZI/LAMI

Kiwanja kina ukubwa wa SQM.640.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.

Nyumba zimejengwa kimkakati wa kupangisha.
Jumla kuna vyumba vya kulala 20,
Kati ya hivyo 4 Vyoo ndani.

UNAWEZA KUBORESHA NA KUFANYA LODGE nk.

MABORESHO YANAHITAJI.

________________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

________________mpg