Apartment ya vyumba vitatu inapangishwa Makumbusho, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 3-Bedroom Apartment for Rent – TZS 1,500,000/Month
📍 Makumbusho (Karibu na Barabara ya Lami)
N.B: Mpangaji wa sasa anatoka mwisho wa mwezi huu. Unaweza kuja kuona nyumba na kufanya malipo mapema ili kuihifadhi.
✨ Furahia maisha ya kisasa katika apartment nzuri yenye Mazingira tulivu na huduma za uhakika!✨
🏠 Maelezo ya Nyumba:
✅ Vyumba 3 vya kulala (1 Master Bedroom)
✅ Sebule kubwa na yenye mwanga wa kutosha
✅ Jiko la kisasa lenye makabati ya kutosha
✅ Public Toilet
✅ Full AC katika vyumba vyote na sebuleni
✅ Water Heater
✅ Mazingira mazuri na salama
🚗 Huduma Nyingine:
✔ Parking ya kutosha
✔ Ulinzi wa uhakika
✔ Usafi wa mazingira
💰 Masharti ya Malipo:
📌 Kodi: TZS 1,500,000 kwa mwezi
📌 Malipo ya miezi 5 mbele
📌 Gharama za Huduma:
🔹 Maji, Usafi na Ulinzi: TZS 100,000 kwa mwezi
🔹 Service Charge: TZS 30,000 (mara moja tu)
🔹 Udalali: Kodi ya mwezi mmoja
📞 Kwa mawasiliano zaidi:
📲 Piga au WhatsApp: +255 692 932 076
Instagram: dalali_empiretz5
📸 Tufuatilie Instagram kwa nyumba mpya kila siku zenye picha halisi na maelezo kamili ili kurahisisha uchaguzi wako wa makazi.















