Apartment ya vyumba vitatu inapangishwa Tabata Kinyerezi Kibaga Zabika, Dar Es Salaam

Aina
Apartment
Vyumba
3
Bafu
2
Huduma na Sifa
Maelezo
Stand alone) Apartment nzuri sana inapangishwa bei 600000 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 6, ina vyumba 3 chumba kimojawapo master, sebule, jiko, dining room, public toilet, umeme na maji masaa 24, Location tabata kinyerezi kibaga zabika dar es salaam Calls/whatsapp 0768682919 au 0653233641 Service charge tsh 20000 Malipo ya dalali















