Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Kinyerezi Mbuyuni, Dar Es Salaam









Kinyerezi, Dar Es Salaam
12 days ago
Sh. 1,500,000/month
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 NYUMBA Inapangishwa INAJITEGEMEA
🙏 LOCATION Kinyerezi (Mbuyuni)
takribani dakika 7 kutoka kituoni ✨
____________________________
✅ Vyumba 3 vya kulala
🛋️ 2 master Sebule #Diningi
😍 jiko makabati
🍳pazuri sana
🏡 Ndani ya fence
🚗 Paving
🔐 Usalama upo wa kutosha
💧 Maji na umeme vinajitegemea
💰 Kodi: TSh 1,500,000 /= kwa mwezi
🤝 Udalali: Sawa na kodi ya mwezi mmoja
🧾 Service charge: TSh : 06595O7709 whatsapp
Karibu ndugu mteja, tufanye bia















