Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kivule, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 50,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Maelezo

NYUMBA YA VYUMBA 3,TSHS.30 MILIONI,KIVULE FREMUKUMI.

Ni nzuri.
Inahitaji umaliziaji mdogo
Wahi tube tumporomoshe Bei kwa kigezi hicho.

Ina vyumba 3 (Masta 1)
Pia Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.

Nyumba ipo jirani na Kituo cha Daladala na ni Gari moja hadi Mjini.

Mungi ajupe nini sasa ?
Wahi Boss.

_____________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

____________mskv