Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Bomang'ombe, Kwa Wasomali, Kilimanjaro (600 sqm)

video thumbnail
Sh. 34,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Bafu

2

Ukubwa

600 SQM

Barabara ya Karibu

3km β€” Arusha - Moshi

Huduma na Sifa

Maji
Umeme
Karibu na Barabara
Jiko
Sebule
Mpya

Maelezo

NYUMBA INAUZWA KILIMANJARO WILAYA YA HAI

LOCATION; Bomang'ombe Kilimanjaro, Kwa Wasomali.
Nyumba ipo Kilometers 3 Toka barabara Kuu Ya kuelekea Arusha - Moshi,

Nyumba haijakamika kabisa, ni ya kufanyia finishing.
Huduma zote za kijamii Zipo kama Maji, Umeme, barabara etc.

-Kiwanja kina Mita 30 urefu
upana 20
-Nyumba Ina vyumba 3 ikiwemo master 1
-Ina jiko
-ina choo Cha wote
-Na sebule kubwa

Bei Ni Milioni 34 tuu!!
Kwa maelezo zaidi nichek 0753146004

Tafuta unachotaka Kilimanjaro, Moshi CBD, Kilimanjaro