Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Bunju B, Dar Es Salaam (500 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
Hii nyumba inahuzwa ya kisasa owner anadaiwa ana mkopo anauza kwa shida Kiwanja kina ukubwa wa 20 kwa 25. Kina document ya mauziano ya serikali ya mtaa maeneo bunju b njia kama unaenda mabwepande nyumba ina vyumba3 sitting room master 1 chooo na jiko bei m70 inahuzwa
Contact 0712531657
0789731695















