Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Bunju-b Darajani, Dar Es Salaam (500 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
2
Ukubwa
500 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA YA VYUMBA 3,TSHS.120 MILIONI, BUNJU-B DARAJANI. Nyumba nzuri ya kisasa ndani ya Fensi. Kiwanja SQM.500. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. Vyumba 3 ( Masta 1) Pia ina Sebule, Jiko, Dining-room, Store na Choo cha Familia. Parking ipo ya kutosha. _____________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu. +255 714 591 548 ______________mpg















