Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Bunju Beach Moga, Dar Es Salaam (500 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 HOUSE FOR SALE / NYUMBA INAUZWA
📍 Bunju Beach – Moga
💰 Bei: Milioni 160/= (Maongezi yapo kidogo)
🛏️ Muundo:
• Vyumba 3 vya kulala (1 Master)
• Sebule + Dining
• Jiko
• Choo cha Public
📐 Ukubwa: Sqm 500
📄 Kimepimwa & Kina Hati ya Wizara
🏗️ Mazingira:
• Eneo limejengeka vizuri
💵 Service Charge: Tsh 50,000/=
📞 Mawasiliano:
0687 800 788
0713 958 395















