Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Chanika Magenge, Dar Es Salaam (400 sqm)

video thumbnail
Sh. 25,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Ukubwa

400 SQM

Huduma na Sifa

Maji
Karibu na Stendi ya Mabasi
Electricity Available
Unfinished Third Bedroom

Maelezo

NYUMBA YA VYUMBA 3,TSHS.25 MILIONI,CHANIKA MAGENGE.

Kiwanja kina ukubwa wa SQM.400.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.

Kuna vyumba 2 vilivyokamilika.
Cha Tatu ni cha pembeni na ni cha kumalizia.

Ni jirani na Kituo cha Daladala,
Kufika Mjini unapanda Gari moja tu.

Huduma za Umeme na Maji zipo.

MUNGU AKUPE NINI?
WAHI UJIKOMBOE.

_______________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

________________mskv