Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Dar Es Salaam (300 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
300 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Maelezo
🏡 NYUMBA INAUZWA – FURSA NZURI YA KUANZIA MAISHA! 🏡
Unatafuta nyumba nzuri kwa familia yako kwa bei nafuu? Hii ndiyo nafasi yako!
✨ Sifa za nyumba:
✅ Vyumba 3 vya kulala
✅ Master Bedrooms 2
✅ Sebule kubwa
✅ Jiko
✅ Ukubwa wa kiwanja: SQM 300
✅ Nyumba imeezekwa
✅ Imepigwa plaster
✅ Wiring yote imekamilika
✅ Sakafu (floor) imekamilika
📍 Umbali:
✔️ Kilomita 1 kutoka barabara ya lami
✔️ Kilomita 12 kutoka Ferry
✔️ Kilomita 11 kutoka Daraja la Nyerere
💰 Bei: TZS Milioni 48
🤝 Mazungumzo yapo.
📍Service Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestatemarket #tanzania #realestateagent















