Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Fani City, Kigamboni, Dar Es Salaam

Maelezo
🏡 NYUMBA INAUZWA – KIGAMBONI, FANI CITY 🏡
Fursa nzuri ya kumiliki nyumba katika eneo linalokua kwa kasi la Fani City, Kigamboni.
✅ Vyumba 3 (Viwili aster Bedroom)
✅ Sebule kubwa
✅ Jiko
✅ Ukubwa wa kiwanja: 400 Sqm
Good News! 🎉
Nyumba imekamilika kwa takribani asilimia 80.
✔️ Milango imefungwa
✔️ Umeme umefungwa tayari
✔️ Mfumo wa taa na bodi ya umeme umekamilika
✔️ Zimebaki kazi chache za umaliziaji kama kuweka tiles na finishing nyingine ndogo ndogo.
📍 Mahali ilipo:
• Mita chache kutoka Barabara ya Alami
• Kilomita 9 kutoka Feri
• Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere
💰 Bei: TZS Milioni 65
Maongezi yapo kidogo kwa mnunuzi makini.
Usikose nafasi hii ya kumiliki nyumba kwa bei nafuu na kukamilisha umaliziaji kulingana na ladha yako.
📞 0769554221
#trendingvideo #istagram #realestatemarket #tanzania #trendingaudio















