Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Geza, Kigamboni, Dar Es Salaam (700 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
700 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 NYUMBA NZURI YA KISASA INAUZWA – GEZA, KIGAMBONI 🔥 ✨ Nyumba ya kifamilia yenye ubora wa hali ya juu, ipo kwenye mazingira tulivu na mazuri sana! 📍 Location: Geza, Kigamboni – Dar es Salaam 🔹 Sifa za Nyumba: • 🛏️ Vyumba 3 vya kulala • 🛋️ Sebule kubwa ya kisasa • 🍽️ Dining area • 🍳 Jiko zuri la kisasa 📐 Ukubwa wa Eneo: Sqm 700 📄 Hati: Hati safi ya Wizara 🌟 Maelezo ya Ziada: • Nyumba ya kisasa kabisa • Inafaa kwa makazi ya familia • Mazingira salama na tulivu • Nyumba kali kwa matumizi ya kuishi moja kwa moja 💰 Bei: TZS 280,000,000 (Milioni 280) 🗣️ Maongezi yapo kidogo sana ⚠️ Service Charge: TZS 30,000 (Viewing) 📞 Wasiliana Nasi: Call/WhatsApp: +255 746 407 197 ⸻ #creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidar es salaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment dalalidaressalaam nyumbainauzwa kigamboni geza dar es salaam houseforsale















