Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Goba Center, Dar Es Salaam
Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
600 SQM
Barabara ya Karibu
2km
Huduma na Sifa
Maelezo
HABARI! KARIBU SANA. (Ujumbe wa Kiotomatiki)
Asante kwa kuwasiliana nasi. Tunayo NYUMBA NZURI INAUZWA iliyopo GOBA CENTER MPYAA
๐ MAELEZO YA NYUMBA:
โข Mahali: GOBA CENTER(Jirani kabisa na rami barabara kuu rami dakika 2
โข Vyumba: 3 vya kulala (Vyumba 2 ni Master Bedrooms)
โข Sebule nzuri na Jiko kubwa lenye Choo ndani
โข Ukubwa wa Kiwanja: Sqm 600
๐ฐ BEI YA OFA:
โข Bei ya zamani: TSH 495,000,000(Inauzwa!)
๐ข KUFIKA OFISINI / KUIONA NYUMBA:
Fika ofisini kwetu Tegeta Kibo Complex, Ghorofa ya 1 (Jengo Jipya) ili tukupeleke kwenye site kujionea nyumba.
Pia unakaribishwa kuwasiliana nasi kwa huduma na kazi zingine zaidi. Acha ujumbe wako hapa au tupigie simu, tutakujibu mara moja!
Karibu sana!
+255 785 352140
Dalalimkuu dangote
0785352140















