Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Goba njia ya makongo, Dar Es Salaam (500 sqm)

video thumbnail
Sh. 400,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Ukubwa

500 SQM

Huduma na Sifa

Hati
Air Conditioning
Jiko
Makabati ya Jiko
Chumba cha Msaidizi
Sebule

Maelezo

✨Nyumba nzuri sana mpya inauzwa Ina vyumba vitatu vyote ni masterbedrooms vina makabati yanguo , sebule kubwa, dinning na jiko lakisasa Lina makabati mazuri sana full Ac & heater

✨Ina boycotta kubwa ya mfanyakazi au wageni

✨Documents: Ina hati miliki

✨Ukubwa sqmt 500

✨Location: Goba njia ya makongo

✨Bei million 400

🙏🏽karibu sana boss wangu fanya kazi na madalali tuonaotambulika kisheria hepuka matapeli , ofisi zetu zinapatikana nyuma ya Skycity mall

🙏🏽kwa mawasiliano zaidi tupigie:0695511662