Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Goba Njia Ya Mbezi Beach Masana, Dar Es Salaam









Mbezi, Dar Es Salaam
8 days ago
Sh. 295,000,000
Huduma na Sifa
Hati
Karibu na Barabara ya Lami
Maelezo
Hii nyumba haikai, Nyumba kali ipo karibu na lami kwa TZS MILLION 295 Maongezi.
Ipo 📍 Dar es salaam. Goba Njia ya Mbezi Beach Masana. LASTANZA.
Dakika moja kutoka lami🔥
▪︎ Ina vyumba vitatu kimoja masta, sebule, jiko, dining na public toilet.
Inafull documents ✅️
DQM 600
TZS 395 Million. (Maongezi yapo)
Tupigie 0767 891 406// 0785 682 800
#luganoorealestateagency















