Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibaga/Kinyerezi, Dar Es Salaam (400 sqm)

video thumbnail
Sh. 50,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Bafu

1

Ukubwa

400 SQM

Barabara ya Karibu

1km β€” Barabara ya Lami

Huduma na Sifa

Tiles
Makabati
Jiko
Dining
Sebule
Stoo

Maelezo

NYUMBA YA VYUMBA 3,INAUZA BANK,TSHS.50 MILIONI,KIBAGA/KINYEREZI.

Ni jirani na Daraja la KIBAGA.
Umbali wa kilomita 1 kutoka Barabara ya Lami.

Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 400.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.

Vyumba 4 ( Masta 1)
Pia kuna Sebule, Jiko,
Dining-room, Store na
Choo cha Familia ndani.

_____________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

______________jj