Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibaha Kongowe, Pwani

Maelezo
NYUMBA YENYE FREMU TATU INAUZWA KIBAHA KONGOWE TSH MILIONI 23 TU.
==========
๐ปIna vyumba vitatu vya kulala, Kimoja ni Master
๐ปSebule
๐ปJiko
๐ป Public toilet
๐ปIna Fremu tatu kwa mbele
__________________
๐ฐ BEI MILIONI 23 tu
==========
โ๏ธ Ipo kwenye barabara ya mtaa
๐ Maji na Umeme vipo
โ๏ธ Ina ukuta pande mbili
โ๏ธ Sebuleni ina Gympsum & Tiles
๐ชญ Kiwanja chake kina 10*30 (sqmt 300)
==========
โ๏ธ Kupelekwa kuona nyumba Tsh 30k
==========
Call/WhatsApp:
#0714972994















