Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni, Fancity, Dar Es Salaam (300 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
3
Ukubwa
300 SQM
Barabara ya Karibu
2km
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ NYUMBA YA MALIZIAJI INAUZWA β KIGAMBONI, FANCITY(MTAA WA LUGWADU) π‘
Fursa nzuri ya kumiliki nyumba katika eneo linalokua kwa kasi la Fanesi City, Kigamboni.
β¨ Sifa za Nyumba:
β
Vyumba 3, vyote Master Bedroom
β
Sebule kubwa
β
Jiko
β
Tayari imeezekwa bati
β
Wiring ya umeme imekamilika
β
Vyoo vimewekewa vigae (tiles)
β
Nyumba ipo hatua nzuri ya umaliziaji
π Ukubwa wa Kiwanja:
β’ Mita 15 Γ 15 (SQM 300)
π Mahali:
β’ Kilomita 2 kutoka Barabara Kuu ya Lami
β’ Kilomita 9 kutoka Ferry
β’ Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere
π° Bei: TZS Milioni 33
Maongezi yapo kidogo kwa mnunuzi mwenye nia ya dhati.
π0769554221
#trendingvideo #istagram #realestatemarket #tanzania #trendingaudio















