Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Kibada, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ NYUMBA INAUZWA β KIGAMBONI KIBADA, DAR ES SALAAM π₯
Unatafuta nyumba nzuri kwa makazi au uwekezaji? Hii ndiyo nafasi yako!
β
Vyumba 3 vya kulala
β
Sebule kubwa
β
Dining
β
Jiko
β
Eneo la SQM 400
β
Corner Plot β linafaa kwa biashara kama maduka, ofisi au fremu za kupangisha
β
Parking kubwa yenye nafasi ya kutosha
β
Nyumba imebakia finishing chache sana kukamilika
π Ipo Kigamboni Kibada, katika eneo tulivu na linalokua kwa kasi.
π° Bei: TZS 58,000,000 tu!
Bei ya kutupa kwa nyumba yenye fursa kubwa ya makazi na biashara.
π Wasiliana nasi leo kupanga kuja kuiona (site visit).
πΌ Service Charge: TZS 30,000
π± Simu/WhatsApp: 0746407197
π· Instagram: @dalali_kigamboni_plots_forsale
#dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment #creatorsearchinsights Kigamboni DarEsSalaam HouseForSale RealEstateTanzania















