Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni, Kisarawe II (Ringato), Dar Es Salaam (600 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
600 SQM
Barabara ya Karibu
2km ā Barabara ya Kisarawe/Ostendi
Maelezo
š” BOMA LINAUZWA ā KIGAMBONI, KISARAWE II (RINGATO) š”
Fursa nzuri ya kumiliki boma katika eneo linalokua kwa kasi la Kigamboni, Kisarawe II ā Mtaa wa Ringato.
ā
Vyumba 3, vyote Master Bedroom
ā
Sebule kubwa pamoja na jiko
ā
Umeme (wiring) tayari umefanyika
ā
Eneo la ukubwa wa SQM 600
ā
Linapatikana katika mazingira mazuri na tulivu
š Umbali:
⢠Kilomita 2 kutoka Barabara ya Kisarawe/Ostendi
⢠Kilomita 9 kutoka Feri ya Kigamboni
⢠Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere
š° Bei: TZS Milioni 45 (Maongezi yapo)
š0769554221
#trendingvideo #realestateagent #tanzania #istagram #trendingaudio















