Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kinyerezi Kanada, Dar Es Salaam
Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
2km
Maelezo
🏡✨NYUMBA HII INAUZWA KINYEREZI KANADA DAR ES SALAAM TANZANIA 🇹🇿
Unatafuta sehemu nzuri ya kujenga makazi yako au kufanya uwekezaji wa apartments? Hiki hapa! 👇
📍 KINYEREZI KANADA
🚗UMBALI NI KM 2 KUTOKA MAIN RAOD
📐 UKUBWA WA KIWANJA NI SQM 400
📑UMILIKI - NYALAKA ZA SERIKALI ZA MTAA
🔴Hii ni fulsa Nzuri sana imekuja kwako ndugu nyumba Inauzwa Kwa BEI lafiki mno Ipo sehemu nzuri pia panafikika kwa ulahisi sana inafaa kwa uwekezaji kuikalabati kidogo na kuipangisha au kuishi mwenyewe pia nyumba hii Ina boycoter kwa nje zipo mbili Chumba master na Sebule na jiko unaweza kukalabati na kupangisha ndugu mteja.
✅Vyumba 3 Vya Kulala
✅1 Master bedrooms
✅Sebule
✅Dinning Room
✅Jiko safi
✅Stoo
✅Public Toilet
✅boycoter zipo 2 Kwa nje Chumba master na Sebule na jiko
✅maji kisima
💰 BEI NI 70 million Tu
Fursa nzuri kwa makazi au uwekezaji wa uhakika! 🔥
📞 Muhitaji piga: +255 624 655 493
#Tabata #KiwanjaKinauzwa #DarEsSalaam #RealEstateTanzania dalaliMarikikinyereziApartments Uwekezaji Kiwanja TabataKinyerezi Nyumba LandForSale TanzaniaRealEstat















