Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Madale Flamengo, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 150,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Bafu

3

Barabara ya Karibu

20m

Huduma na Sifa

Uzio
Fence ya Umeme
Karibu na Barabara ya Lami
Sebule
Dining
Jiko

Maelezo

🏡 NYUMBA INAUZWA – MADALE FLAMENGO

Nyumba nzuri na ya kisasa inauzwa ipo Madale Flamengo, karibu kabisa na barabara ya lami — umbali wa takriban mita 20 tu (dakika 1). Inafikika kirahisi kwa gari aina yoyote, barabara ni nzuri na rafiki.

✨ Sifa za Nyumba:
• Vyumba 3 vya kulala
• Vyumba 2 ni Master
• Sebule kubwa
• Dining kubwa
• Jiko la kisasa
• Choo cha wageni (public)
• Ipo ndani ya fence
• Ina electric fence
• Geti la kisasa la kuteleza (sliding gate)

📍 Eneo ni tulivu, salama na lina neighborhood nzuri sana

💡 Inafaa kwa makazi binafsi au uwekezaji

💰 Bei: Milioni 150 (mazungumzo yapo kidogo)

📞 Muhitaji piga: +255688412890
💼 Service charge: 30,000/=

Karibu ndugu mteja, fanya uwekezaji sahihi leo!