Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbagala Chamazi, Dar Es Salaam (400 sqm)

Mbagala, Temeke, Dar Es Salaam
21 days ago
Sh. 90,000,000
Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
2
Ukubwa
400 SQM
Huduma na Sifa
Sebule
Jiko
Dining
Stoo
Parking Space
Kisima
Maelezo
NYUMBA YENYE VYUMBA 3, BANDA VYUMBA 2,TSHS.90 MILIONI,MBAGALA CHAMAZI.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.400.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Ujenzi wa kisasa.
Vyumba 3 (Masta 1)
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia.
Nyumba Ina kisima na Parking yakutosha.
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
________________rkmb
