Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbeweni Mpiji, Dar Es Salaam (800 sqm)
Huduma na Sifa
Maelezo
š” NYUMBA INAUZWA ā MBWENI MPIJI, DAR ES SALAAM š„
Unatafuta nyumba ya kuishi na familia yako katika eneo zuri lenye nafasi ya kutosha? Hii ni fursa nzuri sana!
⨠SIFA ZA NYUMBA:
⢠šļø Vyumba 3 vya kulala
⢠šļø Sebule kubwa
⢠š³ Jiko
⢠š½ Public Toilet
⢠šæ Garden yenye nafasi
⢠š Kiwanja SQM 800
⢠š Hati safi ya Wizara
š° BEI: TSH MILIONI 250 ā maongezi yapo.
š Location: Mbweni Mpiji
Nyumba hii inafaa kwa makazi ya familia na pia ni fursa nzuri ya uwekezaji kutokana na ukubwa wa kiwanja. Eneo la Mbweni Mpiji linaendelea kuwa na shughuli nyingi za uuzaji wa nyumba na viwanja, hivyo ni vizuri kufanya site visit na kuhakiki nyaraka kabla ya kufanya manunuzi.
SITE VISIT 50,000
CONTACT # #
