Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa MBEZI KIBANDA CHA MKAA, Dar Es Salaam (2000 sqm)

video thumbnail
Sh. 160,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Ukubwa

2000 SQM

Barabara ya Karibu

500m — Barabara ya Morogoro

Huduma na Sifa

Dining
Jiko
Stoo
Sebule
Feni
Mkata wa mauziano

Maelezo

NYUMBA TATU ZA KUMALIZIA,TSHS.160 MILIINI,MBEZI KIBANDA CHA MKAA.

Ni umbali wa wastani wa mita 500 tu kutoka
Barabara ya Morogoro.

Kiwanja kina ukubwa wa SQM.2,000.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.

Kila nyumba inajitegemea na ina jumla ya vyumba 3.
Masta ni moja. Pia na Sebule, Jiko,
Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani.

Ineo la kuweza kujenga zaidi lipo.

________________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

_________________mpg