Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi/Mpiji Magoe, Dar Es Salaam (420 sqm)

video thumbnail
Sh. 30,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Bafu

2

Ukubwa

420 SQM

Huduma na Sifa

Parking Space
Dining
Sebule
Stoo
Mpya

Maelezo

NYUMBA YAKUMALIZIA, VYUMBA 3,TSHS.30 MILIONI,MBEZI/MPIJI MAGOE.

Eneo ni MKOMBOZI,
BAADA TU YA DARAJA LA JESHI..

Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 420.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.

Ujenzi wa kisasa.
Vyumba 3 vya kulala (Masta 1)
Pia kuna Sebule,Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.

Ni ya kufanyia FINISHING tu,
Ikiwemo ya Ukuta ambao nao
umeshaanzwa.kujengwa.

Gari inafika hadi ndani.

Hiduma za Umeme na Maji zipo jirani.
________________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

_______________mpg