Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbweni Mpiji, Dar Es Salaam (800 sqm)


Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก NYUMBA INAUZWA โ MBWENI MPIJI, DAR ES SALAAM ๐ฅ
Unatafuta nyumba ya kuishi na familia yako katika eneo zuri lenye nafasi ya kutosha? Hii ni fursa nzuri sana!
โจ SIFA ZA NYUMBA:
โข ๐๏ธ Vyumba 3 vya kulala
โข ๐๏ธ Sebule kubwa
โข ๐ณ Jiko
โข ๐ฝ Public Toilet
โข ๐ฟ Garden yenye nafasi
โข ๐ Kiwanja SQM 800
โข ๐ Hati safi ya Wizara
๐ฐ BEI: TSH MILIONI 250 โ maongezi yapo.
๐ Location: Mbweni Mpiji
Nyumba hii inafaa kwa makazi ya familia na pia ni fursa nzuri ya uwekezaji kutokana na ukubwa wa kiwanja. Eneo la Mbweni Mpiji linaendelea kuwa na shughuli nyingi za uuzaji wa nyumba na viwanja, hivyo ni vizuri kufanya site visit na kuhakiki nyaraka kabla ya kufanya manunuzi.
SITE VISIT 50,000
CONTACT # #















