Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mikwambe, Fanicity, Dar Es Salaam (400 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
š” NYUMBA INAUZWA ā KIGAMBONI, MIKWAMBE (FANICITY) š”
Fursa nzuri ya kumiliki nyumba mpya kabisa katika eneo linalokua kwa kasi la Mikwambe ā Fanicity, Kigamboni.
ā
Vyumba 3
ā
Master Bedroom 2
ā
Sebule kubwa
ā
Jiko la kisasa
ā
Nyumba mpya kabisa
ā
Umeme umeunganishwa
ā
Decoration ya taa za kisasa imekamilika
ā
Parking kubwa
ā
Mazingira mazuri na mtaa tulivu
š Mahali ilipo:
⢠Takribani mita chache kutoka barabara ya lami
⢠Kilomita 9 kutoka Ferry
⢠Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere
š Ukubwa wa kiwanja: Sqm 400
š° Bei: TZS 66,000,000 (Mazungumzo yapo kidogo.)
š Nyumba imejengwa kwa ubora wa hali ya juu na ipo katika eneo zuri linalofaa kwa makazi au uwekezaji.
š0769554221
#trendingvideo #realestateagent #istagram #trendingnow #trendingaudio















