Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Tabata – Segerea Chama, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 250,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Huduma na Sifa

Chumba cha Msaidizi
Fence ya Umeme
Geti la Remote
Maji
Veranda
Kisima cha maji

Maelezo

SI KILA NYUMBA NI NYUMBA… HII NI NYUMBA YA KISASA! 😮‍🔥🏡

Kwa wale wanaotafuta kununua nyumba ya hadhi, hii ni ile level nyingine kabisa 👇

📍 Tabata – Segerea Chama

✨ Nyumba imekaa kisasa na imekamilika kwa kila kitu:
• 🛏️ Vyumba 3 vikubwa
• 🏠 Servant Quarter
• 🌿 Veranda ya kupumzikia
• ⚡ Electric Fence (ulinzi wa uhakika)
• 🚪 Remote Control Gate
• 💧 Kisima cha maji (hakuna stress ya maji)

🔥 Imenyooka sana, ni nyumba ya kuingia na kuishi moja kwa moja bila kuongeza chochote

💰 Bei: 250,000,000 TZS

⚠️ Hii nyumba HAIPO PUBLICLY POSTED!
Ni kwa watu serious tu wanaojua wanachotaka

📲 Uko tayari kununua?
Nicheki moja kwa moja nikutumie details na video yake

👑 Hii ni deal ya Tajiri, si ya kuangalia tu… ni ya kuchukua hatua!

📞 +255688412890
💼 Dalali wako Wakishua 😎🔥