Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Tabata, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 380,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

4

Maelezo

🏡 NYUMBA MPYA YA KISASA INAUZWA – TABATA SEGEREA CHAMA, DAR ES SALAAM 🏡

💰 Bei: Tsh. 380,000,000 (Maongezi yapo 🤝)
🛡️ Service charge (kuoneshwa): Tsh. 30,000

🔥 Sifa za Nyumba: 🔥

🛏️ Vyumba 4 vya kulala (vyote master bedroom na bafu ndani 🚿)
🛋️ Sebule kubwa na dining room
🍳 Jiko la kisasa lenye store
❄️ Fully Air Conditioned (A/C kila chumba)
🌬️ Mafeni
🏠 Boy's quarter nje ina chumba 1 master + sebule + jiko
🚽 Public toilet
💧 Maji ya DAWASCO + kisima
🧱 Paving blocks nje
🔒 Imezungushiwa ukuta (fully fenced)

📏 Kiwanja Sqm 600
📜 Hati: Miliki ya Wizara ya Ardhi
🛣️ Umbali: Km 1 tu kutoka barabara kuu

Eneo zuri, salama na lenye miundombinu bora! 🌟 Fursa nzuri kwa familia au uwekezaji! 💼

Piga simu sasa kwa maelezo zaidi au kuona nyumba! 📞

+255688412890
dalaliwakishua
"Miliki Kesho Yako Leo!" 🚀