Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Chanika Zingiziwa, Dar Es Salaam (600 sqm)








Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
600 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
Nyumba Inauzwa – TZS Milioni 55 Ipo Chanika Zingiziwa, Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam. Ukubwa wa Kiwanja: Meta za mraba 600, kikiwa na Hati Miliki Sifa za Nyumba: Vyumba viine, viwili Master , vingine kawaida Sebule kubwa Dining Room Jiko Stoo Public Toilet















