Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Goba, Dar Es Salaam (800 sqm)

video thumbnail
Sh. 500,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

4

Ukubwa

800 SQM

Huduma na Sifa

Dining
Sebule
Public Toilet
Mpya
Hati

Maelezo

#NYUMBA INAUZWA // HOUSE FOR SALE // NYUMBA INAUZWA // PLOT FOR SALE

LOCATION : GOBA

PRICE : 500Million ( Negotiable )

LAND SIZE : 800sqm

DOCUMENTS AVAILABLE : HATI IPO NA ITATOKA KWA JINA LAKO

🚀 MAELEKEZO YA NYUMBA
-Ni Nyumba ya vyumba vinne huku vyumba viwili ni masterbedroom , sebule kubwa , dinning kubwa pamoja na choo cha wageni . Nyumba imejengwa kwenye kiwanja chenye ukubwa wa Sqm 800 na ni nyumba ambayo bado inaendelea finishing za mwisho.

NB ; Hii nyumba ni mpya na inaendelea na finishings zingine na hadi sasa mafundi wapo site na wanaendelea na hii kazi ya ujenzi , malipo na kutazama ni ruksa na utakabidhiwa nyumba ikiwa imekamilika.

CONTACT
Normal : 0626614198
Whatsapp : 0624209485

⏩IMPORTANT
Service charge : 50k for site visit

OFFICE DETAILS
#sure_real_estate_tz

Location ; Survey Near Mlimani city

Emails: surerealestate3@gmail.com