Tafuta

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Goba Majengo, Dar Es Salaam (884 sqm)

video thumbnail
Sh. 230,000,000

Maelezo

NYUMBA YENYE HATI, ROOM 4,TZS.230 MILIONI,GOBA-MAJENGO.

Ni nzuri, ina nafasi, utulivu na eneo limejengeka vyema.

Kiwanja SQM.884.
Umiliki ni HATI ( Title Deed) ya Wizara.

Vyumba 4 ( 2 Vyoo ndani)
Pia ina Sebule, Jiko ,Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani

Parking yenye nafsi na Paving.
In Uzio wa Umeme kwa Usalama.

WAHI UJIONEE UREEEEMBO.

_____________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

_____________ryt

Matangazo yanayofanana Goba, Dar Es Salaam