Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kibada, Dar Es Salaam
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ฅ NYUMBA INAUZWA KIBADA โ KISARAWE! ๐ก
Nyumba nzuri sana inauzwa Kibada, Kisarawe, karibu kabisa na barabara. Eneo kubwa na lenye fursa nyingi kwa makazi na uwekezaji.
๐ Eneo: Sqm 1,200
๐ Kiwanja kimepimwa na kina hati rasmi
๐งฑ Ujenzi umefikia takribani 80% โ imebaki finishing kidogo tu
๐ก๏ธ Vifaa/miundombinu ya ulinzi vimewekwa
๐ Nyumba ina:
๐๏ธ Vyumba 4 vya kulala โ 3 Master
๐๏ธ Sebule kubwa sana
๐ฝ๏ธ Dining
๐ณ Jiko kubwa sana
โจ Vyumba vikubwa na mpangilio mzuri
๐ฐ BEI YA KUTUPA: MILIONI 132 TU!
๐ค Mazungumzo yapo.
๐ 0746 407 197
๐ต Service charge: TZS 30,000
#dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment #creatorsearchinsights Kibada Kisarawe NyumbaInauzwa Kigamboni















