Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kibaha kwa Mfipa, Pwani (400 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
400 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
BOMA ZURI SANA LA VYUMBA VINNE LINAUZWA KIBAHA KWA MFIPA TSH MILIONI 9 TU.
==========
๐ปLina vyumba vinne vya kulala, Chumba kimoja ni Master bedroom.
๐ปSebule
๐ปJiko
๐ป Public toilet
๐ป Dinning Room
__________________
โ๏ธ Boda buku tu hadi mlangoni
โ๏ธ Ipo kwenye barabara ya mtaa
โ๏ธ Ina ukuta upande mmoja
๐ Kiwanja chake kina 20*20 (sqmt 400)
_____________________
๐ฐ BEI MILIONI 9 tu.
==========
โ๏ธ Kupelekwa kuona nyumba Tsh 20k tu
==========
Call/WhatsApp:
#0714972994
