Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Gezaulole, Dar Es Salaam (800 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
800 SQM
Barabara ya Karibu
600m
Huduma na Sifa
Maelezo
๐๏ธ BEACH HOUSE YA KIFAHARI INAUZWA โ KIGAMBONI GEZAULOLE Unatafuta nyumba ya ndoto karibu na bahari? Hii hapa fursa adimu! ๐ Ipo Kigamboni Gezaulole ๐ Mita 200 kutoka ufukweni ๐ฃ๏ธ Mita 600 kutoka barabara kuu ya lami ๐ Ukubwa wa eneo: SQM 800 Sifa za Nyumba: * Vyumba 4 (3 Master) * Sebule kubwa na sehemu ya dining * Jiko la kisasa * Swimming pool ๐โโ๏ธ * Full AC nyumba nzima * Generator ya umeme โก ๐ Hati: Hati halali ya Wizara (Title Deed) ๐ฐ Bei: Milioni 450 (mazungumzo yapo) Karibu sana kuona hii nyumba ya kifahari iliyo karibu na bahari โ inafaa kwa makazi au uwekezaji! ๐0769-554-221 #trending #videos #istagram #tanzania #realestateforsale















